Bongo Blogs - Blog ya Taifa

Pages

  • Home
  • Sikiliza Live Radio
  • Sajili Blog
Tanzania
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Post Older Post Home

Recently Updated Blogs

  • Jiachie
    VIJANA NCHINI TANZANIA HAWAJAATHIRIWA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI –RIPOTI - RIPOTI mpya ya kimataifa imeitaja Tanzania kushika nafasi ya tano duniani kwa kuwa kizazi cha vijana ambao hawajaathiriwa na changamoto ya afya ya akil...
    9 minutes ago
  • Michuzi
    VIJANA NCHINI TANZANIA HAWAJAATHIRIWA NA CHANGAMOTO YA AFYA YA AKILI–RIPOTI - RIPOTI mpya ya kimataifa imeitaja Tanzania kushika nafasi ya tano duniani kwa kuwa kizazi cha vijana ambao hawajaathiriwa na changamoto ya afya ya akili, ...
    10 minutes ago
  • Lukwangule Entertainment
    Viwanja vya ndege nchini ni salama - Na Beda Msimbe, BSKY Media Serikali imetoa kauli ya usalama na uthabiti wa miundombinu ya viwanja vya ndege nchini huku ikisema maboresho makubwa ya ...
    23 minutes ago
  • TMZ.com
    Rihanna Shares New Video of Her in Studio, Sparks New Music Buzz - Rihanna is doing nothing but work, work, work, work, work ... sharing a new video from inside the studio -- and fans are hoping it’s a sign fresh tunes are...
    1 hour ago
  • EduSportTZ
    Alimkuta Mumewe na Hausigeli Ndani ya Sebule Yake Mwenyewe, Lakini Simu Moja Iligeuza Kila Kitu na Kufichua Ukweli wa Kushangaza! - Kuna siku ambazo moyo hupasuka kabla hata macho hayajaona vizuri. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa Beatrice wa Ongata Rongai, mama wa watoto wawili, ambaye al...
    1 hour ago
  • Malunde Blog
    PROF. SHEMDOE ATAKA MAGEUZI YA UCHUMI WA VIJIJINI KUHUSISHA UCHUMI WA BULUU, UFUGAJI, MISITU NA MAZAO YAKE - Na OWM - TAMISEMI, Colombia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema ili mageuzi ya uchumi wa vijijini yawe na t...
    1 hour ago
  • Tz MP3 Media
    Pallaso – MASHALLAH - Pallaso, a prominent figure in Uganda’s vibrant music scene, has once again captured the hearts of his audience with his latest release, “Mashallah.” Thi...
    2 hours ago
  • DJ Mwanga
    AUDIO | Luffa Ft. Chino kidd & Kisima – Batta | Download - Tanzanian artist Luffa teams up with energetic hitmakers Chino Kidd and Kisima on a vibrant new release titled “Batta.”The track delivers high energy and i...
    2 hours ago
  • Bongo5
    Dhamira ya kuendeleza Mapinduzi ya kidijitali Dodoma - Tanzania imetangaza kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya mawasiliano na huduma za kifedha kidijitali, ikiunga mkono ajenda ya mabadiliko ya kidijitali ...
    2 hours ago
  • Malunde
    MAKAMU WA RAIS AONGOZA KILELE CHA TAMASHA LA 17 LA KUMBUKIZI YA MIAKA 120 YA MASHUJAA WA VITA YA MAJIMAJI - SONGEA* Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema Mashujaa wa Vita ya Majimaji wanapaswa kuenziwa kwa kuimarisha nidhamu ya utendaji kazi, kupinga masuala ya ukabila na kutambua wajibu wa pekee wa kulitetea na kulipigania Taifa. Makamu wa Rais amesema hayo, wakati wa kilele cha Tamasha la 17 la Kumbukizi ya Miaka 120 ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji, lililofanyika katika Viwanja vya Makumbusho ya Vita ya Majimaji, Songea mkoani Ruvuma. Amesema ni muhimu kuwaenzi mashujaa hao kwa kuendelea kusimamia umoja ili kuhakikisha makabila yote yanakuwa Taifa moja, kufanya kazi kwa bidii kuijenga Nchi, pamoja na kupinga vitendo vya rushwa na kutenda haki. Ameongeza kwamba, Mashujaa wa Vita ya Majimaji waliweka pembeni ubinafsi kwa kuunganisha makabila zaidi ya 30 ili kuweza kupambana na wakoloni na hivyo kutengeneza mustkabali mzuri wa maisha ya sasa. Makamu wa Rais, amesema kumbukizi ya Mashujaa wa Vita vya Majimaji ni muhimu katika kuwezesha kizazi cha sasa na kijacho, kuona na kujifunza jinsi ambavyo mashujaa hao walivyojitolea maisha yao katika kulinda heshima, utu na rasilimali za Taifa. Aidha, Makamu wa Rais ametoa wito kwa jamii kushirikiana na Shirika la Makumbusho ya Taifa kuanzisha Makumbusho katika maeneo yao ili kuendelea kuhifadhi historia nzuri ya Taifa, pamoja na kutumia fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye Malikale zilizopo nchini ikiwemo kuinua uchumi kupitia utalii wa utamaduni. Amesema maboresho makubwa yaliyofanywa na Wizara ya Maliasili na Utalii katika Sheria ya Malikale, Sura 333 na Sheria ya Makumbusho ya Taifa, Sura 281, yametoa fursa kwa jamii kuanzisha Makumbusho. Pia, ametoa wito kwa Taasisi binafsi na jamii kwa ujumla, kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii katika kuwekeza na kutumia kumbukumbu zilizopo nchini, kama chanzo cha ajira na majukwaa ya kutangaza bidhaa na vivutio vya uwekezaji na utalii. Katika hatua nyingine, Makamu wa Rais amesema Serikali inatambua umuhimu wa barabara ya Songea – Makambako na inatarajia kuanza ujenzi wa awamu ya kwanza barabara hiyo hivi karibuni kwa kuwa tayari mkandarasi amepatikana. Awali, Makamu wa Rais alishiriki tukio la uwekaji wa silaha za jadi katika mnara wa kumbukumbu ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji pamoja na kuweka shada la maua katika makaburi waliozikwa mashujaa hao. Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Makambusho ya Taifa Dkt. Noel Lwoga, amesema pamoja na kufanya kumbukizi ya kuwaenzi Mashujaa wa Vita ya Majimaji, lakini pia malengo mengine ni kurithisha urithi wa historia , mila na desturi kwa kizazi cha sasa na baadaye, kuibua na kuendeleza fursa za utalii na uchumi zinazotokana na historia na utamaduni pamoja na kuelimisha umma wa Watanzania umuhimu wa kutunza na kuhifadhi urithi wa Taifa. Makumbusho ya Vita vya Majimaji yalianzishwa mwaka 1980 chini ya Ofisi ya Mkoa wa Ruvuma na Baraza la Makumbusho ya Majimaji, Mila na Desturi, na baadaye kupandishwa hadhi na kuwa Makumbusho ya Taifa ya Vita vya Majimaji mwaka 2009. Tamasha la 17 la Kumbukizi ya Miaka 120 ya Vita vya Majimaji limebeba kaulimbiu isemayo “Utamaduni wetu ndiyo nguvu yetu kwa maendeleo ya utalii na uchumi” ambapo limewashirikisha Viongozi, Wananchi, wadau mbalimbali wa utalii na utamaduni na Viongozi wa Kimila kutoka Tanzania, Zambia, Msumbiji, Malawi, na Afrika Kusini. Imetolewa na Ofisi ya Makamu wa Rais 27 Februari 2026 Songea – Ruvuma. - Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema Mashujaa wa Vita ya Majimaji wanapaswa kuenziwa kwa kuimarish...
    2 hours ago
  • Bongo5.com
    Siri nzito: Tulilipwa tuandae Press kumkejeli Mo Dewji - TULILIPWA TUANDAE PRESS YA KUMKATAA MO DEWJI SIKU NANE KABLA Shabiki wa klabu ya Simba maarufu kama @malaikawasimba amefunguka juu mkutano wa mashabiki wa ...
    3 hours ago
  • ZanziNews Blog
    Wawekezaji kutoka Ufaransa waalikwa Zanzibar - Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameyakaribisha makampuni na wawekezaji kutoka nchini Ufaransa ku...
    4 hours ago
  • ZanziNews
    Wawekezaji kutoka Ufaransa waalikwa Zanzibar - Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameyakaribisha makampuni na wawekezaji kutoka nchini Ufaransa ku...
    4 hours ago
  • Mtaa Kwa Mtaa
    NEMC YAFUTURISHA SERENA - -Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi -Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira Nchini* Baraza la Taifa la Hifadhi n...
    6 hours ago
  • Mtaa Kwa Mtaa
    NEMC YAFUTURISHA SERENA - -Mwanasheria Mkuu wa Serikali -Mgeni rasmi -Aahidi Ushirikiano wa Kisheria katika Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira Nchini* Baraza la Taifa la Hifadhi n...
    6 hours ago
  • Clouds Media Tz
    AUDIO: Ssaru Ft Trio Mio – Mi Amor Mp3 Download - AUDIO: Ssaru Ft Trio Mio – Mi Amor Mp3 Download RELATED: AUDIO: Ambwene Mwasongwe Ft Bella Kombo – U Mtakatifu Mp3 Download DOWNLOAD AUDIO HERE The post ...
    7 hours ago
  • Zanzibar ni Kwetu
    Surah Al-Kahf | A Light Between Two Fridays | Powerful Recitation for Protection & Guidance! -
    10 hours ago
  • Free Thinking
    Nimewasamehe ‘mamluki’ waliokinukisha wote tukanuka - *J*uzi, Fyatu mmoja aliyefyatuka bila aibu wala woga akanifyatua na kuzusha kuwa nina uroho wa madaraka kana kwamba yeye hanao! Nani asiyependa m...
    10 hours ago
  • Free Thinking Unabii
    Nimewasamehe ‘mamluki’ waliokinukisha wote tukanuka - *J*uzi, Fyatu mmoja aliyefyatuka bila aibu wala woga akanifyatua na kuzusha kuwa nina uroho wa madaraka kana kwamba yeye hanao! Nani asiyependa m...
    10 hours ago
  • Free Thinking
    Nimewasamehe ‘mamluki’ waliokinukisha wote tukanuka - *J*uzi, Fyatu mmoja aliyefyatuka bila aibu wala woga akanifyatua na kuzusha kuwa nina uroho wa madaraka kana kwamba yeye hanao! Nani asiyependa m...
    10 hours ago
  • BBC Swahili.com | Habari
    Pablo Escobar hadi "El Mencho": Je, enzi ya viongozi wa magenge ya dawa za kulevya imekwisha? - Kwa miongo kadhaa, Amerika Kusini imeshuhudia mapambano kati ya mamlaka za ndani na viongozi wa magenge ya biashara ya dawa za kulevya, viongozi wa magenge...
    2 days ago
  • Bongo Exclusive
    Exploring the Wonders of East Africa: Your Ultimate Travel Guide to Africa - [image: Exploring the Wonders of East Africa: Your Ultimate Travel Guide to Africa] Mount Kilimanjaro (Tanzania) Introduction to East Africa East Africa ...
    2 weeks ago
  • Vijimambo
    WATUHUMIWA WA KUSAFIRISHA KILO 20.03 ZA SKANKA KATIKA BASI LA KING MASAI TOURS WASOMEWA MASHTAKA - WATUHUMIWA wawili, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji, Januari 22, 2026, wamefikishwa kwa...
    5 weeks ago
  • Idawa Media
    Breaking : HAYA HAPA MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA (PSLE) 2025 - Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limesema watahiniwa 937,581, sawa na asilimia 81.8 ya watahiniwa milioni 1.14 wenye matokeo, wamefaulu mtihani wa k...
    3 months ago
  • Udaku Specially.
    Sitamani Kuwa Kwenye Nafasi ya FADLU, Wachezaji Wote Aliowataka Wameenda Kwa Mpinzani - [image: Sitamani Kuwa Kwenye Nafasi ya FADLU, Wachezaji Wote Aliowataka Wameenda Kwa Mpinzani] MCHAMBUZI wa michezo Hans amesema kuwa "Muda huu sitamani ...
    7 months ago
  • Kilimo na Teknolojia
    Siri ya Mkulima wa Kisasa Kunyakua Faida Kubwa - JINA LA MAKALA*: Kilimo na Teknolojia:* *Siri ya Mkulima wa Kisasa Kunyakua Faida Kubwa* *Utangulizi* Katika dunia ya leo inayobadilika kwa kasi, mkulima...
    10 months ago
  • Sophie Mbeyu
    Kuna cha kujifunza hapa -
    11 months ago
  • Maisha Tips
    Jinsi ya Kupika Ugali na Dagaa kwa Sauce ya Mbilingani yenye Viungo vya bei Nafuu. - *Je, unatafuta mlo wa kitamaduni, wenye ladha tamu na lishe bora?* Hii ni njia rahisi ya kutumia mahitaji yako ya kila siku kama unga wa mahindi, dagaa, ...
    1 year ago
  • Bin Ruwehy
    CRYSTAL PALACE YAITWANGA MAN UNITED 4-0 SELHURST PARK - WENYEJI, Crystal Palace wameipa kipigo kizito Manchester United cha mabao 4-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park Jijini Lo...
    1 year ago
  • Voice of America
    White House inatathmini njia za kutoa hadhi ya muda na vibali kwa wahamiaji wanaoishi kinyume cha sheria - White House inatathmini njia za kutoa hadhi ya muda ya kisheria na vibali vya kufanya kazi kwa wahamiaji nchini Marekani wanaoishi kinyume cha sheria.
    1 year ago
  • Machweo Communication News
    Naibu waziri amezindua zoezi la utafiti wa gharama za utapiamlo nchini - Pichani ni Naibu Waziri Ofisi Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa zoezi la utaf...
    2 years ago
  • Maisha na Mafanikio
    NAPENDA KUWATAKIENI KHERI SANA YA MWAKA MPYA 2024 - Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutulinda sisi wote kwa kuona Mwaka 2024. Wengi walitamani kuona lakini haikuwa bahati kwao.Binafsi mim...
    2 years ago
  • Zotekali Blog
    Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya - DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka y...
    2 years ago
  • Zotekali Blog
    Watatu mbaroni kwa kusafirisha dawa za kulevya - DAR ES SALAAM: WAKAZI watatu wa Kigamboni mkoani Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka y...
    2 years ago
  • Idawa Online
    LIVE: Tazama matukio mbalimbali mkutano wa MDA Makete unaoendelea hivi sasa - Chama cha Maendeleo Makete MDA disemba 23 2024 kimefanya mkutano wao mkuu katika ukumbi wa Madiani Villa kama ambavyo wamekuwa na utaratibu huo wa kurej...
    2 years ago
  • Tanzania Kids Time
    UWEZO TANZANIA YAWAJENGEA UWEZO WAANDISHI WA HABARI KUHUSU STADI ZA MAISHA - *Wawezeshaji wa mafunzo kutoka Shirika la Uwezo Tz, Milele Zanzibar Foundation na RELI wakiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa Habari.* *Na Hama...
    2 years ago
  • Bongo Celebrity
    - [image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio] Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio alt=”” class=”w...
    2 years ago
  • BongoCelebrity
    - [image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio] Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio alt=”” class=”w...
    2 years ago
  • UBUNTU PLATFORM
    - [image: #] *ASK THE EXPERT: Dr Oldman Koboto on COP28 climate talks* *24 October 2023* *Dr Oldman Oduetse Koboto is Adviser and Manager of the Commo...
    2 years ago
  • Muislamu Blog
    Mengi ya Maudhui Yanayopinga Uislamu kwenye Twitter yanatoka Marekani, Uingereza na India - Utafiti wa hivi majuzi uliofanywa na Baraza la Kiislamu la Victoria (ICV) lenye makao yake makuu Australia ulifichua kwamba kati ya machapisho milioni nn...
    3 years ago
  • Mpekuzi
    Kesi ya Zumaridi yapangiwa hakimu mpya - Hakimu Monica Ndyekobora ameondolewa kusikiliza shauri la jinai namba 12/2022 linalomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi na wenzake 83 bad...
    3 years ago
  • Tiba Zetu Afrika
    DAWA YA KUONGEZA UUME NA KUTIBU NGUVU ZA KIUME - Je una uume mdogo na matatizo ya nguvu za kiume. Tibazetu.blogspot.com Rijali ndyo mkombozi wako kama una matatizo haya -UUME MDOGO (Inarefusha na ...
    6 years ago
  • The Citizen
    -
  • Mwananchi
    -
  • Dira Makini
    -
  • All Global
    -
Show 10 Show All
Bongo Blogs. Powered by Blogger.